Thursday, August 20, 2009

Vijimambo vyakatuni

he! hii ya kibajaji ni kali kumbe kiki isha mafuta dereva anauwezo wa kukusafirisha kwa njia ya kukibeba ni sawa lakini embu imagine akijikwaa itakuwaje?


sasa wazazi sikuhizi inasemakana wana hadi mabango ya kuozeshea mabinti zao si hatari hii coz kwa yeyote yule atakae leta benk statement we unaye c balaa hili

Friday, August 14, 2009

BREKING NYUUUUZZZZZZZZZ:MADEREVA WA MABASI YA MIKOANI WAGOMA UBUNGO, DAR


MADEREVA WA MABASI YAENDAYO MIKOANI KUTOKEA KITUO KIKUU CHA UBUNGO, DAR, WAMEGOMA KUFANYA KAZI KWA KILE KINACHOSADIKIKA KUWA WANAPINGA HUKUMU YA KIFUNGO CHA MIAKA 30 JELA ALICHOPEWA DEREVA MWENZAO ALIYEKUWA ANAFANYA KAZI KATIKA BASI LA MOHAMED TRANS, LILILOPATA AJALI NA KUUA ABIRIA TAKRIBAN 25 SIKU KADHAA ZILIZOPITA,MAENEO YA KOROGWE MKOANI TANGA.
BASI HILO LA MOHAMED TRANS LILILOKUWA LIKITOKEA MWANZA KUJA DAR,LILIGONGANA USO KWA USO NA LORI LA MIZIGO .
HIVI TUNAVYOONGEA HAKUNA BASI LILILOONDOKA UBUNGO TOKEA ALFAJIRI NA ABIRIA WAMEBAKI KURUNDIKANA KILA PEMBE YA KITUO HICHO KIKUU CHA MABASI YA MIKOANI. YAANI NI TAFRANI TUPU.
GLOBU YA JAMII IPO ENEO LA TUKIO NA KAA MKAO WA KULA KWA HABARI NA TASWIRA ZAIDI BAADAYE KIDOOOOOGOOOO..

hashimu ndani ya bongo on tomorrow


mkali wa basketball anatarajia kuwasili ndani ya Dar es salaam hapo kesho.