Friday, November 27, 2009

Eid Njema



Ingawaje waswali suni wamesheherekea leo sikukuu tukufu ya Eid, waislamu wengine wanakwenda kusheherekea sikukuu hiyo hapo kesho hivyo nawatakia sikukuu njema natumuombe Allah ipite kwa Amani kabisaaaaaaaaa.

Wednesday, November 25, 2009

Jennifer Mgendi kuzindua Albam mpya ya kiu ya Nafsi



Mwimbaji mahiri wa muziki wa nyimbo za kiroho alias injili nchini,Jennifer Mgendi anatarajia kuizindua albamu yake ya sita itakayoitwa Kiu ya Nafsi itakayozinduliwa Novemba 29 katika ukumbi wa Landmark Hotel jijini.

kwa taarifa aliyoitoa hivi karibuni,Jennifer alisema kuwa albamu yake itakuwa na jumla ya nyimbo 10,aidha akabainisha kuwa uzinduzi huo utashirikisha wanamuziki mbalimbali watakaompa tafu katika uzinduzi wake.

Jennifer alizitaja baadhi ya nyimbo zilizomo ndani ya albamu hiyo kuwa ni pamoja na jaribu Langu,Kutapambazuka,Nitasubiri Fadhili,Unifundishe kusifu na nyinginezo.

Aidha jennifer amewataja baadhi ya wanamuziki watakaosindikiza uzinduzi wake kuwa ni Upendo Nkone,Cosmas Chidumule,Charles Jangalason,Neema Mwaipopo,Cristina Mwan'gonda,Ann Annie,The Wispes band,Trinity Band pamoja na Wema sanga.

Jennifer alisema kuwa katika onesho hili la kiroho kutakuwepo na kiingilio ambacho kimepangwa kuwani shilingi 3000/= kwa watu wazima na watoto watalipa shilingi 2000/= na kwa viti maalum itakuwa ni shilingi 10,000/=.

Albamu alizowahi kuzindua hapo awali ni pamoja na na Nini aliyoitoa mnamo mwaka 1995,Ukarimu wake (2000),Nikiona Fahari (2001), Yesu Nakupenda (2002) pamoja na albamu ya Mchimba Mashimo aliyoitoa mnamo mwaka 2006.


Aidha pamoja na kupata mafanikio kwa namna moja ama nyingine katika fani ya uimbaji wanyimbo za Injili,Jennifer pia amewahi kutoa filamu kadhaa hapo awali ambayo ni Joto la roho, Pigo la faraja, teke la Mama na nyinginezo .

Tuesday, November 24, 2009

Kumbe hata bendera ya Man U ilipeperushwa







Bendera ya Man U ilipopeperushwa na mkali Chidbenzi ndani ya Fiesta One Love katika Viwanja vya Posta.

Friday, November 20, 2009

Enjoy your week end guys



sasa ngoja tuone safari hii itakuwaje kwa hawa wakali wa ligi maana kesho anakwenda kuki hapenisha na Everton.

Thursday, November 12, 2009

Internet na vioja vyake

kupata mchumba c lazima uwe kijana hata wazee pia hupata kupitia internet.

NEW FASHION SHOES



fashion mpya ya viatu imeingia wahi sasa ujipatie size yako kwani viko vichache sana kama unavihitaji unaweza kuwasiliana na wahusika, wahi sasa bei ni nafuu kabisaaaaaaaaaaaaaaa! chaguo lako tu.

Wednesday, November 11, 2009

R.Kelly Kutembelea wahanga Vietnam

King wa R&B duniani Robert Sylvester Kelly "R. Kelly" mapema wiki hii kupitia mtandao wake ametangaza kuwa anajiandaa kuitembelea Nchi ya Vietnam kwa ajili ya kusaidia na kutoa msaada kwa wahanga wa mafuriko yaliyoikumba Nchi hiyo hivi juzi kati.
R.Kelly amesema amesikitishwa na vifo vingi vya watoto vilivyotokea wakati wa mafuriko hayo na kusema anataka kushirikiana na Mataifa mengine ya misaada duniani kuwasaidia watu wa jamii ya Vietnam.
Mfalme huyo wa R&B, hatafnya onyesho lolote la muziki isipokuwa kazi hiyo ya kusaidia jamii pekee na baada ya kumalizaka kwa zoezi hilo atarejea "homeland" kuendelea na michongo yake kama kawa.

IBUA FILMS STAR TANZANIA YAHAMIA MWANZA

Majaji wakishoo love na yale madini yatakayowakilisha jiji la A-town
Baada ya mchakato mzima wa kuibua vipaji vya wasanii chipukizi wa maigizo yaani IBUA Film Star Tanzania kuanzia Arusha,zoezi zima linahamia Mwanza katika Nyanza Shule ya msingi iliyopo Balewa Road tarehe 14 na 15 Novemba kabla ya kuhamia Dodoma.

Chipukizi waliofanikiwa kuiwakilisha mkoa wa Arusha ni pamoja na Salum Ahmed Shafii, Pauline Edward Munisi,Michael Elias Mrema,Mbara Meena na Enhard Haruna. Kutokana na mwamko mkubwa wa wasanii chipukizi,fomu za kujiunga na shindano la IBUA Film Star Tanzania zinaendelea kutolewa maeneo mbali mbali na mikoa husika.Hii ni kuwawezesha wasanii chipukizi kupata nafasi ya kuonyesha uwezo wao ya kuendeleza vipaji vyao na kuviacha vikipotea kwa kukosa njia ya kuvikuza.

Usaili wa mikoani utaandaliwa vipindi maalum na kuonyeshwa kupitia mojawapo ya runinga hapa nchini.Taasisi ya YEC Production,inayojihusisha na kukuza na kuibua vipaji kwa vijana katika ulingo wa filamu nchini,imegundua njia pekee ya kuibua vipaji hivyo na kuviokoa visipotee kwa kuanzisha shindano maalum la kusaka vipaji.Washiriki wataonyeshwa kwenye runinga kupitia kipindi maalum ambapo watazamaji watahusishwa kumpata staa halisi wa filamu Tanzania.

Mbali na kuviendeleza vipaji vyao pia washiriki watapata mafunzo katika nyanja zote kuanzia za uandishi wa muongozo(scripting)hadi uigizaji bora na kuwawezesha kufikia malengo yao.Vigezo vilivyotumika katika kumsaka msanii huyo chipukizi ni kuwa na umri wa miaka 16 ikiwa ni pamoja na uelewa.

Hata kutokuonekana katika tamthilia au sinema ya aina fulani hapa nchini hicho pia ni kigezo kimojawapo ambacho ni kizuri,kwani vijana wanaochipukia ndiyo wanahitaji msaada mkubwa katika kuibuliwa vipaji,tofauti na wakongwe ambao tayari wamejitangaza.

YEC,imeahidi kuyaangalia matatizo yanayowakabili wasanii kwa kina na kuahidi kutoyarudia, kama yanavyofanywa na baadhi ya wasanii wakongwe,ndiyo maana wameamua kuingia mikataba ya mwaka mmoja na washindi watakaofika kumi bora, ili kuliepuka tatizo hilo.Sambamba na mikataba hiyo kwa watakaofika kumi bora,pia watatoa nafasi ya kuwapeleka shule watakaoingia tano bora kwa ajili ya kujiendeleza mambo mbali mbali ya sanaa ambapo atakayeibuka kinara atapewa zawadi nyingine maalum.

Pia mchakato wa kuwapata washindi kumi hadi tano bora utaanzia kwenye 20 bora, ambapo watacheza filamu mbili huku majaji wakiangalia kipaji cha msanii mmoja baada ya mwingine na kuendelea kuchujwa hadi kupatikana mshindi.

Filamu watakayocheza zitakuwa katika mandhari ya mtanzania halisi,huku asilimia 60 ya mauzo ya kazi hizo yatakayopatikana zitakuwa kwa ajili ya wasanii wenyewe.Kutokana na kuona umuhimu wa suala hilo,Baraza la Sanaa la Taifa(BASATA) liliamua kutoa vibali halali vya kuendesha mchakato huo,ikiwa ni pamoja na kupewa baraka na chama cha hakimiliki Tanzania (COSOTA)ya kusimamia kazi hiyo.Mikoa husika katika mchakato wa kwanza ni Arusha,Mbeya, Zanzibar,Mwanza,Dodoma na Dar es Salaam lakini wigo wa mikoa utaongezeka mwaka hadi mwaka.Jackline WolperBalozi IBUA Film Star Tanzania


NEW FASHION SCARF MUST HAVE

Hapo chacha kina dada scarf hizoooooooooooooooooooooooooooooooo kazi kwetu kuvaa tu.

Elizabeth Go home mumy







Big Brother Revolution Africa Big Brother Revolution Africa


Big Brother Revolution Africa
Sends Elizabeth Home... Elizabeth being show the Door
Fans greet Elizabeth after her eviction last night
-----Tanzania’s Elizabeth was evicted from the BIG BROTHER REVOLUTION during Sunday’s ninth live Eviction Show,leaving just 8 housemates in the running for the massive USD200 000 prize.
After Angolan hip hop star Big Nelo kicked off the show with his hit “Karga”, viewers saw some highlights of the week that was and were given a glimpse of Jeremy’s first day outside the house, it was time to get down to the serious business at hand.IK took the continent inside the house, for Head of House Edward to reveal who he had saved from possible eviction and who he had replaced them with.
Getting straight to the point,Edward told the housemates that he had saved“the only person I get along with,the only person who is cool with me, my little sister Mzamo”.He went on to reveal who he had switched her with:“I changed her with Elizabeth because she took out my twin brother and I miss my brother like nobody’s business”.Big Brother gave Elizabeth 5 minutes to pack her bag and she duly headed upstairs with a few housemates in tow,with Kevin helping her pack her bags.
After a few more inserts,one of which introduced Geraldine’s much-talked-about twin sister Jacqueline to the continent,Big Nelo told viewers he was completely behind Emma before performing another of his hits –“Eu Quero Mais Karga”.IK then called the Alexander Forbes representative on stage to hand over the dreaded envelope and confirm that the name it contained was indeed the correct one.
Having done so, it was time to reveal the news to the housemates and the continent. “The next housemate to leave the Big Brother house is…”said IK.“Elizabeth”.After sharing a long hug with Kevin and greeting the other housemates for the last time,she headed out of the door in the garden and joined IK on stage.Elizabeth revealed that she wasn’t shocked at being evicted because of her role in ending Edward’s twin brother Erastus home.
“Twin power, you know?It’s only a game and you have a good chance of being up for eviction,” she said.“You either get evicted or you win!”IK asked her about the most difficult part of being in the BIG BROTHER REVOLUTION house,to which she replied“I don’t want to say–it’s really personal,but I will say that I’ve learnt a lot about myself in the house and I know my mom is proud of me,” she said.
She felt that her time in the house had taught her to“let things go”and that it was possible to make really good friends in a very short time.IK’s line of questioning then turned to the thing everyone on the continent wanted to know about – her relationship with Kevin.“What’s going on?” he asked her.“Just because I have a man doesn’t mean I have to be mean, said the Tanzanian.“I have a man out there and I put myself in so much danger by getting close to Kevin. Kevin is one of the greatest people I have ever met and he knows things about me that not even my best friends know.”
“Naija boy,I love you!”she shouted.“That’s all I’ll say–he’s my best friend”.Then it was Molotov Cocktail time,with IK promising it was the worst one of the game so far.“It’s a blessing for most and a curse for one,”he read.“All housemates may receive a message from a loved one,except one.”Leaving Elizabeth to make that choice,after a long pause,she named Kevin.“Kevin, I know I’m going to get a message to your loved ones and I know you’ll be there ‘til the end.I’ll deliver a message to your sisters coz you know I have their numbers,”she assured her visibly-upset friend.
Moving on to his final questions,IK asked Elizabeth about the screaming match she had with Itai, in which he had called her“psycho”.“Don’t get into my business if I don’t let you in. It’s mine,” she replied. Asked about her ‘beef’ with Nkenna, Elizabeth declared that it wasn’t a beef and that she just couldn’t relate to the Nigerian.“She tried to be friends with me but it was fake,”she said. After viewing her highlights,IK asked her what she would miss most about the Big Brother house. “I’m gonna miss Kevin,”she told him.
With that,it was time for Elizabeth to depart,with IK reminding her that she left with USD 2809 in her money pot.Here’s how the continent voted: Elizabeth was the least popular in Angola,Botswana,Ghana, Malawi,Namibia,Uganda,Zimbabwe and Zambia.Her fellow nominees Emma and Nkenna were least popular in Ethiopia, Mozambique Nigeria and Rest of Africa and Kenya, South Africa and Tanzania respectively, splitting the vote 8-4-3.

Tuesday, November 3, 2009

Naomba radhi

Jamani naomba radhi kwakutokuonekana oline muda mrefu kwani nilikuwa namatatizo kidogo yaliyo kuwa nje ya uwezo wangu, ninacho wahaidi sasa nimerudi tena hivyo tutakuwa pamoj kuanzia sasa.