kupata mchumba c lazima uwe kijana hata wazee pia hupata kupitia internet.
Rais wa Singapore awasili nchini kwa ziara ya Kitaifa ya siku tatu
-
Rais wa Jamhuri ya Singapore Mhe.Tharman Shanmugaratnam, amewasili nchini
kwa Ziara ya Kitaifa ya siku tatu, Juni 8-10, 2026.
Katika Uwanja wa Ndege wa...
12 hours ago


Nimeona ulikuja kunisalimu kibarazani kwangu hapa nilikuwa sijafika. Nimechake kweli hapo hao akina dada. Kweli dunia imebadilika. Da Rose karibu sana tena kibaraza Maisha.
ReplyDeleteAsante sana Yansint nimeshakaribia, nawe pia wakaribishwa sana kibarazani kwangu jisikie huru wakati wowote.
ReplyDelete