Wednesday, September 9, 2009

Jamani hiki ni kipimio cha maco

unatakiwa kubofya katikati palipo namsalaba na kama ikitokea viduara vya pink vinazunguka basi unahitajika kuwahi hospital kwa ajili ya uchunguzi wa mamcho yako kwani inasemekana yatakuwa na kasoro flani.
Picha kwahisani ya www.issamichuzi.blogspot.com