
R.Kelly amesema amesikitishwa na vifo vingi vya watoto vilivyotokea wakati wa mafuriko hayo na kusema anataka kushirikiana na Mataifa mengine ya misaada duniani kuwasaidia watu wa jamii ya Vietnam.
Mfalme huyo wa R&B, hatafnya onyesho lolote la muziki isipokuwa kazi hiyo ya kusaidia jamii pekee na baada ya kumalizaka kwa zoezi hilo atarejea "homeland" kuendelea na michongo yake kama kawa.
No comments:
Post a Comment