Ama kwa hakika kesho tuna kwenda kusheherekea miaka 48 ya uhuru ivyo nawatakia watanzania wote siku njema ya kesho na iwe ya amani na usalama kwa wote kwani na hakika kila mmoja atakuwa na uhuru wa kufanya jambo analolitarajia kwa kesho, mimi, wewe, na yule tusikose kukutana pale katika uwanja wa uhuru kuanzia saa 06:00 asubui Lango litakuwa wazi kwaajili ya wanchi kuingia na kuweza kushuhudia kwa umakini kwa kinachoendelea.
Rais wa Singapore awasili nchini kwa ziara ya Kitaifa ya siku tatu
-
Rais wa Jamhuri ya Singapore Mhe.Tharman Shanmugaratnam, amewasili nchini
kwa Ziara ya Kitaifa ya siku tatu, Juni 8-10, 2026.
Katika Uwanja wa Ndege wa...
13 hours ago


No comments:
Post a Comment