
Msanii mdogo wa Bongo Falava ambae sio mgeni sana masikioni mwa wengi amerudi tena, ni baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu, Aliamua amalizie masomo yake ya Sekondari kwanza na sasa amerudi... Amekua kiakili hata kimwili sio mdogo mdogo tena kama zamani na anaonekana mrembo zaidi....Single yake mpya inayoitwa "NAMTESA" itaanza kusikika redioni hivi karibuni na kuonekana kwenye televisheni mbali mbali...Huyo ndio Queen Doreen Bwana
No comments:
Post a Comment